Micah 2:4


4 aSiku hiyo watu watawadhihaki,
watawafanyia mzaha
kwa wimbo huu wa maombolezo:
‘Tumeangamizwa kabisa;
mali ya watu wangu imegawanywa.
Ameninyang’anya!
Ametoa mashamba yetu kwa wasaliti.’ ”

Copyright information for SwhKC